Uncategorized, wawata

 SEMINA YA WAWATA PAROKIA YA KIWANJA CHA NDEGE

 SEMINA YA WAWATA PAROKIA YA KIWANJA CHA NDEGE

JUMAMOSI YA 1 YA MWEZI- 03/05/2025

IMEONGOZWA NA

PD: DIONISI SAFARI, SJ

MAFUNDISHO KUHUSU KANUNI YA IMANI

KIPENGELE:

NASADIKI KWA ROHO MTAKATIFU:

Kipengele hiki kinapatikana kwenye Biblia Takatifu

  Mathayo 28:19

  Matendo ya Mitume 1:8

   Waebrania 10:15-17

   Yohane 15:26-27

BWANA MLETA UZIMA:

  2Wakorintho 3:8

   Yohane 6:23

ATOKAYE KWA BABA NA MWANA:

Mathayo 10:20

Galatia 4:6

ANAYE ABUDIWA NA KUTUKUZWA

1Petro 1:10-11

ALIYENENA KWA VINYWA VYA MANABII

Waefeso 3:5

NASADIKI KWA KANISA MOJA

Waefeso 4:5

KANISA MOJA TAKATIFU

1Timotheo 1:4

1Petro 5:25

1Petro 1:15

KANISA MOJA TAKATIFU KATOLIKI

Ufunuo wa yohana 7:9

Isaya 56:7

Marko 11:17

Mathayo 28:19

KATOLIKI LA MITUME

Waefeso 2:9-20

Mathayo 26:18

Yohane 6:70

Tito 1:5-9

Warumi 12: 4-5

1wakorintho 12:13

NAUNGAMA UBATIZO MMOJA

Wagalatia 3:27

Waefeso 4:5

KWA MAONDOLEO YA DHAMBI

Wakolosai 2:12-13

NANGOJEA UFUFUKO WA WAFU

Warumi 6:4-5

1Wathesalonike 4:16

UZIMA WA MILELE IJAYO

2Petro Kwa Watu Wote 3:13

Ufunuo Wa Yohane 21:16

AMINA

Na iwe hivyo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *