SEMINA YA WAWATA PAROKIA YA KIWANJA CHA NDEGE
JUMAMOSI YA 1 YA MWEZI- 03/05/2025
IMEONGOZWA NA
PD: DIONISI SAFARI, SJ
MAFUNDISHO KUHUSU KANUNI YA IMANI
KIPENGELE:
NASADIKI KWA ROHO MTAKATIFU:
Kipengele hiki kinapatikana kwenye Biblia Takatifu
Mathayo 28:19
Matendo ya Mitume 1:8
Waebrania 10:15-17
Yohane 15:26-27
BWANA MLETA UZIMA:
2Wakorintho 3:8
Yohane 6:23
ATOKAYE KWA BABA NA MWANA:
Mathayo 10:20
Galatia 4:6
ANAYE ABUDIWA NA KUTUKUZWA
1Petro 1:10-11
ALIYENENA KWA VINYWA VYA MANABII
Waefeso 3:5
NASADIKI KWA KANISA MOJA
Waefeso 4:5
KANISA MOJA TAKATIFU
1Timotheo 1:4
1Petro 5:25
1Petro 1:15
KANISA MOJA TAKATIFU KATOLIKI
Ufunuo wa yohana 7:9
Isaya 56:7
Marko 11:17
Mathayo 28:19
KATOLIKI LA MITUME
Waefeso 2:9-20
Mathayo 26:18
Yohane 6:70
Tito 1:5-9
Warumi 12: 4-5
1wakorintho 12:13
NAUNGAMA UBATIZO MMOJA
Wagalatia 3:27
Waefeso 4:5
KWA MAONDOLEO YA DHAMBI
Wakolosai 2:12-13
NANGOJEA UFUFUKO WA WAFU
Warumi 6:4-5
1Wathesalonike 4:16
UZIMA WA MILELE IJAYO
2Petro Kwa Watu Wote 3:13
Ufunuo Wa Yohane 21:16
AMINA
Na iwe hivyo