MADA: IMANI

MTOA MADA: PD. PASCHAL DIONIS – SJ
KARIBU.
Maana ya Imani______________________________
Ili kuwa na Imani thabiti tunahitaji
- Kuwa tayari kuchukua mwelekeo ambao Mungu anataka tuelekee.
- Kushirikisha yale yote ambayo Mungu ametupa.
- Kuwa tayari kupokea mateso kama Mungu ataruhusu yaani kuwa wavumilivu.
- Kutafuta Muungano na Mungu katika Sala, ndiyo kuwa mtu aliyesimama katika masuala ya kiroho.
- Moyo wa shukrani na sifa kwa Mungu, tukinukuu namna Bikira Maria alivyosema katika LK 1:46-47 “Moyo wangu wamtukuza Bwana na Roho yangu yamwazimisha Bwana”.
- Kuyatunza yote mazuri na mabaya tuliyopitia japo mengine ni ya kukuumiza.
- Kuwa na uwezo wa kusimama chini ya Msalaba ili kumwambia Yesu Mwokozi wetu yale yote tunayohitaji katika Maisha yetu.
- Sala tukikumbuka na kushuhudia namna Mama Bikira Maria alivyosali akimsubiri Roho Mtakatifu.
TAFAKARI
Ni nini Mapenzi ya Mungu katika Maisha yako?