MATANGAZO

MATANGAZO YA DOMINIKA YA 5 YA PASAKA

MATANGAZO YA DOMINICA YA 21 MWAKA. B. 22/08/2021.

  1. NDOA.
  2. Kwa mara ya Kwanza  Ndg. Frank Shehemba Baba yake ni Martin Boniface na mama yake ni Habiba Allya  anataka kufunga ndoa na Upendo Zawadi  Baba yake ni Mtari Mahendeka  na Mama yake ni  Witness Kabega.  Wote wanaishi Parokia ya Buza – DSM.
  • Kwa mara ya Pili  Ndg. Meldan Mashaka Baba yake ni John Mgongo na mama yake ni Leah Mito  anataka kufunga ndoa na Rose Maurice  Baba yake ni Maurice Kasanga  na Mama yake ni  Theresia Lyowa.  Wote wanaishi Parokia ya Mt. Paulo wa Msalaba – K/Kuu Dodoma.
  • Kwa mara ya Tatu Ndg. Francis Magohagasenga Baba yake ni  George  Magohagasenga na mama yake ni Agendina Sanga  anataka kufunga ndoa na Amina Kalahani  Baba yake ni Kalahani Msangi na Mama yake ni  Sakina Omari.  Wote wanaishi Parokia ya K/Ndege.
  • Kwa mara ya Tatu Ndg. Albert Dominick  Baba yake ni  Dominick Sinare na mama yake ni Fatuma Muitafa  anataka kufunga ndoa na Anjela Abedi  Baba yake ni Abedi Saidi na Mama yake ni  Veneranda Shabani.  Wote wanaishi Parokia ya K/Ndege.
  • Kwa mara ya Tatu  Ndg. Steven Kaundama  Baba yake ni  George  na mama yake ni Vailet Mgao  anataka kufunga ndoa na Victoria Mallya  Baba yake ni Edward Mallya na Mama yake ni  Evetha Edward.  Wote wanaishi Parokia ya Moyo Mt. wa Yesu – KIHESA.
  • Kwa mara ya Tatu  Ndg. John Henry  Baba yake ni  Henry John  na mama yake ni Evalina Blasi  anataka kufunga ndoa na Benifrida Alfred  Baba yake ni Alfred Arobogast na Mama yake ni  Marygoreth Justin.  Wote wanaishi Parokia ya Mt. Gaspar – DSM.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *